AfricaPress-Kenya: National exams for primary and secondary schools will still take place this year.
In a briefing today with journalists President Uhuru Kenyatta said that despite the lost time, the Ministry of Education was working out on a program that will facilitate a smooth return to class for the learners.
“Tunashukuru stesheni zinazotusaidia kuwaelemisha watoto, ile jukumu tuliyonayo ni kuhakikisha watoto wanoatarajiwa kufanya mitihani wa kitaifa mwaka huu watafanya. Wizara ya Elimu inazidi kuweka mikakati ya jinsi wanafunzi wanaweza kurudi shule haswa wale watahiniwa na pia jinsi wataweza kumaliza silabasi licha ya muda uliopotea. Mitihani itaendelea lakini lazima tujue itafanywa vipi na wakati upi,” said Uhuru.However, the president was displeased with Kenyans who failed to adhere to the set measures to contain the spread of Coronavirus in the country.He urged Kenyans to reconsider their actions bearing in mind a number of Kenyans had closed down business.
“Jameni wakenya, tuko na shida na hii vita haitashindwa na mtu mmoja ama serikali pekee, mimi naona vibaya sana wale ambao wanaenda kando na kukataa kutii sharia ambazo zitatuwezesha kupambana na kumaliza hii janga kwa muda mfupi ili tuweze kurudi hali yetu ya kawaida.”On Monday, about 50 Kenyans escaped from quarantine at the Kenya Medical Training College along Mbagathi.The president warned that they would be arrested and made to complete their quarantine.The National Treasury had proposed a freeze on all development projects diverting the cash to towards the fight against coronavirus. The biggest projects to be affected by the cash crunch form the big four agenda under President Uhuru Kenyatta.
According to the president, the health agenda is still intact despite the Covid-19 disruption but so far as a country we are far much ahead.The president said the country would not engage in fighting unnecessary battles of its neighbours or trade partners but the government would focus on helping Kenyans fight the COVID-19 pandemic.
A big portion of Kenyans rely on day-to-day earnings to maintain a living. According to the president, a lockdown is not a solution for the country.
“Masoko yetu bado yanafanya, mbolea tunazidi kuwapa wakulima na wale wanaosafirisha vyakula wanaruhusiwa kuendelea na shughuli zao kwa hivyo upande wa chakula nchini hatujalitupilia agenda ya kuhakikisha wakenya wote wamepata vyakula,” added Uhuru.?